Mrakibu Msaidizi wa Polisi Makao Makuu Dar es Salaam, Bw. Emmanuel Mkilia (kulia), akishikana mikono na Ofisa Upelelezi wa Tume ya Kuzuia Rushwa nchini Swaziland, Bw. Cyprian Cininza, baada ya kuvishwa vazi la asili la nchi hiyo, mara baada ya kutoa mafunzo ya wiki tatu ya upelelezi wa makosa ya jinai yanayohusu mitandao, Jijini Mbabane hivi karibuni. (Picha na Juma Kintu wa NSSF)
No comments:
Post a Comment