04 October 2012

TAMKO


Mwenyekiti wa Jukwaa la katiba Tanzania Bw.Deus Kibamba (katikati)akizungumza na waandishi wahabari Dar es Salaam jana,(hawapo pichani) kuhusu mchakato wa kukusanya maoni kwa ajili ya uundaji wa katiba mpya Tanzania katika mikoa mbalimbali ya tanzania kushoto ni Mratibu jukwaa hilo Bi.Diana Kidala na kulia ni Mjumbe Bw.Israel Ilunde. (Picha na Prona Mumwi)

No comments:

Post a Comment