01 October 2012

SHIMO


Waziri Mkuu, Bw. Mizengo Pinda (wa tatu kushoto), ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, akiangalia shimo lililoko kwenye makutano ya barabara za Bugwe na Soko Kuu mjini Mpanda jana, alipofungua mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa  CCM wilaya za Mlele na Mpanda mkoani Katavi. (Picha Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment