mawasiliano
Makala
Uchumi na Biashara
Michezo na Burudani
Habari Mikoani
Mwanzo
03 October 2012
OPERESHENI
Fundi wa Mifumo ya Umeme wa Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania, Mkoa wa Kinondoni Kaskazini, Bw. Steven Mganga, akikata umeme kwenye maungio, baada mkazi wa Mbezi Beach, Bw. Emmanuel Mbuga kukutwa akitumia huduma hiyo bila idhini ya shirika hiyo, Dar es Salaam jana. Shirika linafanya operesheni isiyo na ukomo nchini kote kuwakamata wezi wa umeme ili kuliwezesha kujiendesha kwa ufanisi.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment