MAJIRA - GAZETI HURU LA KILA SIKU:

mawasiliano

  • Makala
  • Uchumi na Biashara
  • Michezo na Burudani
  • Habari Mikoani
  • Mwanzo

03 October 2012

OPERESHENI


Fundi wa Mifumo ya Umeme wa Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania, Mkoa wa Kinondoni Kaskazini, Bw. Steven Mganga, akikata umeme kwenye maungio, baada mkazi wa Mbezi Beach, Bw. Emmanuel Mbuga kukutwa akitumia huduma hiyo bila idhini ya shirika hiyo, Dar es Salaam jana. Shirika linafanya operesheni isiyo na ukomo nchini kote kuwakamata wezi wa umeme ili kuliwezesha kujiendesha kwa ufanisi.

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Archive

Zilizopendwa

  • HOFU YA VYETI FEKI SERIKALINI
    WATUMISHI WOTE SASA KUHAKIKIWA VYETI VYAO ASKARI WALIOVITUMIA KUPANDA VYEO KUKIONA   Na Heri Shaaban Wizara ya Ulinzi na Jeshi ...
  • ...ZANZIBAR HEROES YAAGA MASHINDANO
      Na Mwandishi Wetu, Nairobi W awakilishi wa Tanzania katika michuano ya Chalenji inayoendelea nchini Kenya ya Zanzibar Heroes, j...
  • WALIOKUTWA NA MENO YA TEMBO JELA MIAKA 20
    Watu wawili akiwemo mlinzi wa nyumba moja mkoani Tanga, wamehukumumiwa kifungo cha miaka 20 gerezani kila mmoja baada ya kupatikana na ...
  • LOWASSA ‘AFUNGUKA’ KWA WAUMINI
    Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Bw. Edward Lowassa (mwenye suti),akiwaaga waumini wa Kanisa la Anglikana, Dayosisi ya Mtandi,Wilaya ya Mas...
  • KILI STARS 'MTOTO HATUMWI SOKONI LEO'
      Na Mwandishi Wetu, Nairobi T imu ya taifa ya Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars), leo itakuwa na kibarua kigumu dhidi ya Burundi ka...

TAFUTA HABARI

Google
Custom Search

PATA HABARI


Majira
Business Times
Spoti Starehe

mawasiliano

mhariri mtendaji - 0773138085
mhariri wa habari - 0774442490

Dawati la makala
mhariri michezo - 0774442860
matangazo - 0774443110
usambazaji - 0774441131
Picture Window theme. Powered by Blogger.

Visitors - Start from November 9, 2011

Majira counter