MAJIRA - GAZETI HURU LA KILA SIKU:

mawasiliano

  • Makala
  • Uchumi na Biashara
  • Michezo na Burudani
  • Habari Mikoani
  • Mwanzo

03 October 2012

OPERESHENI


Fundi wa Mifumo ya Umeme wa Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania, Mkoa wa Kinondoni Kaskazini, Bw. Steven Mganga, akikata umeme kwenye maungio, baada mkazi wa Mbezi Beach, Bw. Emmanuel Mbuga kukutwa akitumia huduma hiyo bila idhini ya shirika hiyo, Dar es Salaam jana. Shirika linafanya operesheni isiyo na ukomo nchini kote kuwakamata wezi wa umeme ili kuliwezesha kujiendesha kwa ufanisi.

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Archive

Zilizopendwa

  • MPASUKO ZAIDI CHADEMA
    M/KITI SINGIDA AJIUZULU, ASEMA HAKUNA DEMOKRASIA Damiano Mkumbo na Darlin Said Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia ...
  • JK AMTEUA DKT. MIGIRO BUNGE
    Na Mwandishi Wetu Rais Jakaya Kikwete, amemutea Dkt. Asha-Rose Migiro, kuwa mbunge wa kuteuliwa.Taarifa iliyotolewa Ikulu, Dar es S...
  • ZITTO AKATISHA ZIARA YA SLAA
    CHADEMA KIGOMA YASHTUKIA MCHEZO MCHAFU HOFU YA KUTOKEA VURUGU YATANDA MAJIMBONI  Na Mwajabu Kigaza, Kigoma C hama cha Demokrasi...
  • HOFU YA VYETI FEKI SERIKALINI
    WATUMISHI WOTE SASA KUHAKIKIWA VYETI VYAO ASKARI WALIOVITUMIA KUPANDA VYEO KUKIONA   Na Heri Shaaban Wizara ya Ulinzi na Jeshi ...
  • LOWASSA ‘AFUNGUKA’ KWA WAUMINI
    Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Bw. Edward Lowassa (mwenye suti),akiwaaga waumini wa Kanisa la Anglikana, Dayosisi ya Mtandi,Wilaya ya Mas...

TAFUTA HABARI

Google
Custom Search

PATA HABARI


Majira
Business Times
Spoti Starehe

mawasiliano

mhariri mtendaji - 0773138085
mhariri wa habari - 0774442490

Dawati la makala
mhariri michezo - 0774442860
matangazo - 0774443110
usambazaji - 0774441131
Picture Window theme. Powered by Blogger.

Visitors - Start from November 9, 2011

Majira counter