01 October 2012

BOMU


Baadhi ya Walimu na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Juhudi, iliyoko Gongolamboto, Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam, wakiangalia mfano wa bomu lililotengenezwa wanafunzi wa fani ya sayansi wa shule hiyo juzi, ikiwa ni sehemu ya masomo yao. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment