Mshiriki wa Maisha Plus, Swaumu Shabani (katikati) akifanyiwa usaili kwa ajili ya mashindano hayo yanatarajiwa kuanza Oktoba 13 mwaka huu. Kulia ni Mratibu wa Maisha Plus Ally Masoud 'Kipanya' na kushoto ni mshindi wa mashindano hayo wa mwaka 2009, Abdulhafidh Haleem (Picha na Victor Mkumbo)
No comments:
Post a Comment