25 September 2012

SHAMBULIZI

Wachezaji wa Shule ya Sekondari Iyunga wakishambulia la timu ya Sekondari ya Wenda katika mashindano ya kutafuta timu ya mkoa yaliyofanyika viwanja vya Youth Center jijini Mbeya. Mashindano hayo yamedhaminiwa na Coca-Cola kupitia soda ya Sprite.

No comments:

Post a Comment