29 August 2012

MAPOKEZI


Mmoja wa mashabiki wa Yanga waliofika kuilaki timu hiyo Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam juzi, wakati ikitokea Rwanda kwa ziara ya kimichezo kwa mwaliko wa Rais wa nchi hiyo, Paul Kagame akipokea Kombe la Kagame mara baada ya kuwasili. (Picha na Situ Athuman)

No comments:

Post a Comment