17 July 2012

Mafuta


Adha ya kuishiwa mafuta, dereva wa taksi namba T 357 AHA, akisaidiana na abiria wake kusukuma gari kwenda kituo cha mafuta kama walivyokutwa na kamera yetu, Barabara ya Msimbazi, Dar es Salaam jana. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment