26 July 2012

MAADHIMISHO


Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Bw. Pandu Ameir Kificho, akifurahia na Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Mstahiki, Dkt. Didas Masaburi (kushoto), mara baada ya Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa, kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jana. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment