Wanachama na mashabiki wa Klabu ya Yanga, wakimshangilia Kocha mpya wa
timu hiyo, Mbelgiji, Tom Saintfeit (kushoto) wakati akiwasili Uwanja wa
Ndege wa Dar es Salaana jana, kocha huyo alikuwa Mkurugenzi wa Ufundi wa
Timu ya Taifa ya Nigeria, anatarajia kuingia mkataba wa kuifundisha
timu hiyo. (Picha na Charles Lucas) |
No comments:
Post a Comment