24 July 2012

DARAJA


Baadhi ya mafundi ujenzi wakijenga daraja eneo la Mikocheni, Dar es Salaam jana, Daraja hilo linalojengwa na Manispaa ya Kinondonim, litakuwa kiungo kati ya eneo hilo na Kata ya Hananasifu. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment