Meneja Mawasiliano wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), Imani Lwinga (kushoto)akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) jana kuhusu tuzo za Chama Cha Waandishi wa Habari za Michezo (TASWA) ambazo zitafanyika kesho. Katikati ni Mwenyekiti wa TASWA Juma Pinto na kulia ni Katibu Mkuu wa chama hicho, Amir Mhando.(Picha na Victor Mkumbo)
No comments:
Post a Comment