22 May 2012

TAMASHA


Meneja wa Benki ya NBC Tawi la Morogoro Bw. Jasson Shumbusho (kulia),
akikabidhi Hundi ya Sh Mil 5.1, kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Ngoma Afrika Bw. David Kitururu (wa pilia kushoto), kwa ajili ya Tamasha la Paukwa kwa Wanafunzi wa Shule za Msingi za Manispaa ya Morogoro, litakalofanyika Uwanja wa Jamhuri wiki hii. Jumla ya shule 20 zitashiriki. (Picha na Aziz Msuya)

No comments:

Post a Comment