31 May 2012

TAIFA STARS YAPAA IVORY COAST LEO

Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Amosi Makalla (kushoto) akimkabidhi bendera nahodha wa Taifa Stars, Juma Kaseja Dar es Salaam jana ajili ya kwanda nayo Ivory Coast kuipeperusha katika mechi ya kufuzu Kombe la Dunia 2014 wa pili kushoto ni Meneja wa bia ya Kilimanjaro, George Kavishe ambao ni wadhamini wa timu hiyo, Kocha Mkuu Kim Poulsen na katikati ni Mwenyekiti wa BMT, Deoniz Malinzi. Picha na Rajabu Mhamila.

No comments:

Post a Comment