23 May 2012

MAZUNGUMZO


Rais Jakaya Kikwete (katikati) akimsikiliza Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Rais Kazi Maalum, Profesa, Mark Mwandosya, mara baada ya kumuapisha Ikulu, Dar es Salaam jana, kushoto ni mke wa waziri huyo, Bi. Lucy Mwandosya. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment