Mchungaji wa Kanisa la Pentekoste la LIFT HIM UP lililopo eneo la SanawariJuu mkoani Arusha Orche Mgonja (kushoto) akimuiombea mmoja wa waumini wa kanisa hilo Sabrina Masirori, wakati wa Maombi kwenye Kituo cha Maombezi maarufu Hospitali ya Rufaa juzi, aliyekuwa katika matatizo mbalimbali ya kiimani. (Picha na Richard Konga)
No comments:
Post a Comment