18 May 2012

HUZUNI

Wachezaji wa timu ya Simba na timu ya taifa, Taifa Stars, Juma Kaseja na Amir Maftah (kulia) wakiwa na huzuni, baada ya kupata taarifa za kifo cha mchezaji mwenzao, Patrick Mafisango, wakati wakiwa mazoezini uwanja wa Karume,Dar es Salaam jana.Wachezaji hao walisitisha mazoezi kutokana mshituko wa kufiwa na mwenzao.(Picha na Rajabu Mhamila)

No comments:

Post a Comment