02 February 2012


 Meneja Miradi wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF)

Mhandisi, John Msemo (wa tatu kulia) akifafanua jambo

wakati wa ziara ya kuangalia mipaka ya barabara kabla ya

kukabidhi rasmi mradi wa ujenzi wa daraja la Kigamboni kwa

kampuni ya CRJE uliofanyika Kurasini jijini Dar es Salaam

jana. Kulia ni Mhandisi, Lumeya M. Kasambaganya, Mhandisi

wa Kampuni ya Norplan, Mussa Nyamsingwa na  Kushoto ni

Mhandisi Mkuu wa Kampuni inayojenga daraja hilo ya CRJE,

Zhou Zejun.

No comments:

Post a Comment