19 January 2012

Mbunge wa Kahama Bw. James Lembeli, akizungumza na wakazi wa Kata ya Igunda, wakati akitangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Shinyanga jana, wakati wa uchaguzi wa Chama hicho mwaka huu. Mwenyekiti wa sasa ni Bw.Hamis Mgeja

No comments:

Post a Comment