21 December 2011

Rais Yoweri Museveni wa Uganda, akizungumza na wakulima kutoka Muleba, mkoani Kagera (hawako pichani), walipomtembea nyumbani kwake, Kijiji cha Rwakitura Nchini humo juzi, wakiwa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Profesa Anna Tibaijuka, aliyeketi kushoto.

No comments:

Post a Comment