22 December 2011

Mkuu wa Mkoa - Mbeya

Kandole
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Bw. Abbas Kandoro, akimpa pole mmoja wa waathirika wa upepe ulioezua nyumba 88, za wakazi wa Kata ya Galula, Wilayani Chunya, Bibi Maria kutokana na upepo mkali na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini. (Picha
na Esther Macha)

No comments:

Post a Comment