22 December 2011

MWENYEKITI -NCCR - akiongelea Mafuriko Dar


Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi Bw. James Mbatia akizungumza na waandishi wa habari kuhusu tahadhari ambayo wananchi wanatakiwa kuchukua kutokana na maafa ya mafuriko ya mvua zinazoendelea kunyesha katika jiji la Dar es Salaam. (Picha na Peter Mwenda).

No comments:

Post a Comment