21 December 2011

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Emmanuel Humba (aliyesimama kulia), akiongea na waratibu wa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF), kuhusu umuhimu wa kuboresha mfuko huo kwa faida kizazi cha sasa na kijacho, wakati wa kongamano la kwanza la waratibu wa mfuko huo, mjini Morogoro juzi.

No comments:

Post a Comment