29 December 2011

Meneja wa Benki ya KCB Tanzania tawi la Arusha, Bi Judith Lubuva (kushoto), akimtwisha ndoo ya maji, mwanafunzi Samwel John wa shule ya Msingi Meru, baada ya kuzindua kisima cha maji, kilichochimbwa kwa msaada wa benki hiyo, Jijini Arusha juzi, Wanaoshuhudia ni wanafunzi wa shule hiyo.

No comments:

Post a Comment