28 December 2011

Mchezaji wa kikapu wa Sacramento Kings, Tyreke Evans (katikati) akiambaa na mpira katikati ya wachezaji wa Los Angeles Lakers, Derek Fisher (kushoto) na Kobe Bryant wakati wa robo ya nne ya Ligi Kuu ya mchezo huo Marekani (NBA), iliyochezwa Uwanja wa Sacramento, California juzi.Kings ilishinda kwa pointi 100-91.

No comments:

Post a Comment