27 December 2011

Mbunge wa Korogwe Vijijini Bw. Stephen Ngonyani 'Profesa Majimarefu' akiongoza mtumbwi kuvuka mto Ruvu uliojaa maji kutokana na mvua zilizonyesha milima ya Upare na mto huo kujaa,na kusababisha wananchi wa Majengo na Manga-Mtindiro kukosa mawasiliano. wengine ni Mkuu wa wilaya ya Korogwe Bw Erasto Sima (katikati) na katibu wa UVCCM mkoa wa Tanga, Bw. Acheni Maulid.

No comments:

Post a Comment