27 December 2011

Mama akiwa na mtoto wake mchanga mgongoni, wakati akipandaji moja ya miti 4000, iliyotolewa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), kwa ajili ya Uwanja mpya wa Ndege wa Kimataifa wa Songwe, ulioko Jijini Mbeya, mwishoni mwa wiki, ikiwa ni mikakati ya kuboresha mazingira ya mji huo.

No comments:

Post a Comment