03 November 2011

Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Dodoma, Bi. Felister Bura akitaka ufafanuzi wakati Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma ikipitia mahesabu ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA). Kushoto ni Bi. Amina Mwidau Mbunge Viti Maalum mkoa wa Tanga. (Picha na Peter Mwenda)

No comments:

Post a Comment