15 August 2013

UCHAGUZI MKUU TFF OKTOBA 20



Na Rehema Mohamed
MAHA KAMAyaHakimuMk azi Kisutuimemtia ha tiani wak alawampiraw amiguuwaFCL umpopokutok an chini Ko ng oIsmail Banduk a, baada yakukir i k utendamakosamatatul ikiw emolakuishi nchini bila yak ibali.Wakalah uy oalikuja nchini kwa ajili yak ufanyamaz ungumzonakipawa zamani waSimba Ju ma Kasejailiakaichezee timu ya FC Lupopo ya Kongo
.Wakalahuyoj anaa lif ikishwa mahakama ni hapo mbe leyaHakimuHellenLiwa,a mbap ow akili waserikali kutoka Idaray aUhamiaji PatrickN gayomela alimsomea mashtak ayake.Akisomama shta kaha yo, Ngayomela al idaikuwakat ikakosala kwan zaBanduk aana daiwakuwa Agosti7, mwakah uukatika eneolaM agomeniKond oaakiw araiawa Kongo ali kutwaak iishinc hini bila yaki bali.
Katik ashtaka la pili ilidaiwa kuwa, mshtakiwahu yoalimdang anyaofisauhamiaji w amp aka waTund uma kwamba anaing ianc hinikwaajili ya matembezihu kuaki jua k uwaana ingiakama wakala wa mpira wamiguu .
Il i daiwakati kash takala tatutarehe hiyohiy o,alikut waaki jihusis hana kaz iyauw akala wampirawa miguub ila yakuwanakibali .B aadaya kusomewa mashtaka hayo, m shtakiwahuyoalikiri kutendamakosa hayo na ma hakamailimtia ha tian i.
Kablayakusomewa adhabu, Hakim uLiwaal imtakaBanduka aililiema hakam aili isimp e adhabukubwa ambap oaliomba apeweadhabundogokw asababuhakuwa anajuashe riazauham iaji nch ini.Alise makuw a yeyealiingianchini kw a kutu mi akibali chaShi rikisholaMpirawaM iguuD uni ani(FIFA) ambachokinamruhusu kufanya kazi duniani k ote.
"Naombamsamah a, s itarudiakufanya kosa hili tena,sikunyingine niki jaTanzan ianitaombakibali hatachabi asharaili niweze ku fanyakazi yangu,"a lidai.Hatahivyo Hakimu Liwa alimuel ezamshta kiwah uy okuwakutojuashe ria siosabab uyaku tenda mak osana k umpaad habu yakif ungochami ezimitat ujelakw akila kosa aukulipa fainiy ash.150,000kwama kosam atat ua liyotenda. Mshtakiwa amelipa faini.

No comments:

Post a Comment