15 August 2013

MTANDAO WA MAJANGILI WAITISHA SERIKALI



Grace Ndossa na David John
SERIKALI imesema mtandao wa majangili wanaoua tembo mkubwa wenye watu walio na uwezo kifedha ambapo wapo ndani na nje ya nchi .Siri hiyo ilifichuliwa Dar es Salaam jana na Waziri wa Mali Asili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki, wakati akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kukutana na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii
.Alisema tayari Serikali ina majina ya mtandao unaojihusisha na biashara ya ujangili wa meno ya tembo na baadhi yao wapo pia wafanyabiashara wakubwa waliopo ndani na nje ya nchi."Tayari majina tunayo ya mtandao wa watu wanaojishughulisha na ujangili wa meno ya tembo huu ni mkubwa ambao una pesa nyingi, hauna tofauti na ule wa dawa za kulevya,"alisema
A l i s e m a s i o k w a m b a wameshindwa kufanya kazi bali wanaendelea kupatataari fa nawameandaa operes heniuhai itakayosak aw alewo teambao wanahusikan aujang ilihuo .Alionge zakuwawanaen delea kufuatilianch i inay onunuamenohayo am baponch i zili zopoBarala Asianimiongo nimwazinaz ohusi kanabiashar ahiy o.Ali sema siorahisi ku shindav itahi yokwaku tumiavyombovya habar i.
"Mnaj uah ii nivita kubwa na niwaamb iekuwavita hiihuw ezi kushindakw a kutu miav yom bovyahabari, hiv yoWatanzan iakuweninaamaninatun ajitahidiku hakikis ha tunamaliz atatiz ohili,"alis ema.Katikah atuan yingi ne,alisema mfumowademokrasia uliopounacha ngia kurudishanyuma jitihada mbalimbali zinazofanywa, kwani watu wakikamatwa na kupelekwa mahakamani kesho yake wanaonekana mtaani.
Alisema wanaobainika kufanya biashara hiyo ya ujangili hata Polisi wamo na wengine wameshafukuzwa kazi na wengine kusimamishwa, hivyo hizo zote ni jitihada za Wizara yake.Naye Mwenyekiti wa kamati hiyo John Lembei alisema kuwa kamati yake imeiomba Serikali kuondoa kodi ya asilimia tatu ambayo ilipitishwa na bunge kwa ajili ya mfuko wa maendeleo ya utalii na asilimia kumi ambayo yalikuwa yanawasilishwa Serikalini kwani inachangia kuondoa huduma za jamii zilizokuwa zikitolewa kwenye jamii inayozunguka hifadhi hizo.
Alisema kamati imeomba serikali kama kweli wanataka kuendeleza sekta ya utalii basi kodi hiyo ifutwe vinginevyo hifadhi hazitakuwa salama na ujangili utaongezeka kwa kiasi kikubwa."Hifadhi hizi za TANAPA na ngorongoro ilikuwa miradi ya kusaidia jamii inayowazunguka kwa kuwajengea shule, hospitali, maji, pamoja na huduma zinginezo hivyo kutokana na bunge kupitisha kodi hiyo wameondoa huduma hizo,"alisema Lembei.

No comments:

Post a Comment