15 August 2013

HALMASHAURI YAKOSA GARI LA MAJITAKA MIAKA 16



NaGladne ssTheonest aliy ekuwaBu koba
HALMASHAURI yaMjiwa Bukoba hainama gari yama jitak akwa ta kribani miaka16nah ivyokulazimika kutumi amag ari yawa tubi nafsi katikak utoahudum ahi yokwawananchi.Akizungumza na Majira hivi karibuni K aim uAfisaAfyawa ManispaayaBu koba, Swau muMsofealise ma kuwa Manisp aa imeshi ndwakununuamagariyamajitaka kw akipind i hich ochotekutok ananam agarihayoku uzwa kwa gharama kubwa ambapo gari moja linauzwa kiasi cha sh.milioni 900
.Alisem ak uwakutokana nagharamahiz okuwa kubwa mwaka 2008,M anis paaililazi mikakutoa zabun ikwakam punibina fsi zaRwab izin aMu kwano amb azok ilamojaina g arimojak waajil iya kusai dia k utoahudumayaunyonyaji majitakakwa wananc hi.
  “Tumesh indwaku nu nuagari la majitakakutoka nanagha ramazaunu nuziwagari hilokuwa ku bwandio ma anailitul azimukutumiaka mpunibin afs i iliziwezekutusaid iakwaaj iliyauto aji wa hud umahiyokwawan anchiwa mji waBuko ba,” alise maMsofe .Kai muAfisaA fyahuyoa lisemakuwaMa nispa ainaj ipang akatika ununuziwag arilamajitakalakini haijajuli kan ani li ni wa tatek elezasualahilo.  
  Aid ha, kwa upande mwingine Ms ofealise makuwapa moja nakuw epokwa maga rihayolakinibado wakaziwaBukobawamek uwahawayat umi i magari hayonabad ala yak ewamekuwawakit irir ishakinyesizi wani kupitia mto Kano ni. 
Majirailizungumza na baadhi yawan anchi ambapoha wakutakama jinayaoyaandik wegazetini ambapowalisema wamek uwa hawatum ii magariy a majitakaya kampuni hizo kutokana na kuwalipisha gharama kubwa ambazo wamekuwa wanashindwa kuzimudu.
Mwandishi wa habari hii aliwasiliana kwa njia ya simu na mmoja wa madereva katika kampuni ya Rwabizi ambaye hakutaka jina lake litajwe gazetini alisema kuwa hivi sasa mji huo una gari moja tu na lingine lilienda Kahama.
Kwa siku Mji wa Bukoba unazalisha lita 232,876.7 za maji taka jambo ambalo linaonyesha kuwa magari hayo hata kama yangekuwapo yote mawili hayawezi kukidhi mahitaji ya mji mzima.

No comments:

Post a Comment