11 March 2013

UANDAAJI


Naibu waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Bi. Ummy Mwalimu (kushoto) akisikiliza maelezo kutoka kwa  Mhariri wa Habari za Michezo wa gazeti hili, Bi. Elizabeth Mayemba, kuhusu uandaaji wa kurasa za michezo, wakati waziri huyo alipotembelea Kampuni ya Business Times Ltd, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Dar es Salaam jana. Katikati ni Meneja Usambazaji wa kampuni hiyo. Bi. Sophia Mshangama. (Picha na Anna Titus)

No comments:

Post a Comment