13 March 2013

BAJETI MANISPAA


Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Mstahiki Yusuph Mwenda (katikati), akisoma tamko la kuidhinisha bajeti ya manispaa hiyo ya mwaka 2013-2014, mara baada ya kuungwa mkono kwa kauri moja na Baraza la Madiwani Dar es Salaam juzi. Kushoto ni Naibu Meya, Bw. Songoro Mnyonge na Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, Mhandisi Mussa Natty. Zaidi ya sh. Bilioni 156 zitatumika katika shughuli mbalimbali za maendeleo ya manispaa hiyo. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment