21 January 2013

SALAMU


Makamu Mwenyekiti wa CCM, Bw. Philip Mangula (kulia), akiwasalimia mabalozi wa nyumba 10 kutoka kata 21 za Ilemela na Nyamagana, mkoani Mwanza baada ya kuzungumza nao kwenye Uwanja wa Nyamagana jijini humo jana. Nyuma yake ni Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Bw. Nape Nnauye. (Picha na Bashir Nkoromo)

No comments:

Post a Comment