21 January 2013

DIRISHANI


Mkazi wa jijini akipanda gari kwa kuingilia dirishani, kwenye gari namba T 288 AZB linalo fanya ruti kati ya madafu Kariakoo, kama alivyo kutwa na mpiga picha wetu Dar es Salaam jana.Abiria wamekuwa kero kwa makonda kutokana na uharibifu wa kuvunjwa vioo vya madirisha.Picha na Prona Mumwi

No comments:

Post a Comment