23 November 2012

NYUNGO


Mchuuzi wa nyungo (jina halikufahamika) akivuka, Barabara ya Chang'ombe wilayani Temeke, Dar es Salaam jana wakati akisaka wateja. Baadhi ya wachuuzi wa bidhaa hizo hulazimika kutembeza mitaani badala ya kujenga vibanda ili kuepuka kukamatwa na askari wa manispaa. (Picha na Peter Twite)

No comments:

Post a Comment