22 November 2012

MSAADA




Mkurugenzi wa Mikopo wa Benki ya Barclays Tanzania, Daniel Mbotto (kushoto) akikabidhi mfano wa hundi ya sh. milioni 2.4 na vyakula mbalimbali kwa Mkuu wa Kituo cha Don Bosco cha Kimara, Evans Tegete, Dar es Salaam jana, vilivyotolewa na benki hiyo kwa watoto yatima wanaolelewa katika kituo hicho. Fedha hizo zitalipia karo za shule kwa watoto hao. (Na Mpigapicha Wetu)

No comments:

Post a Comment