23 November 2012

HUDUMA YA VODACOM


Mkazi wa Moshi, Felister Raymond (kushoto) akipimwa damu na Dkt. Elibariki Kalua wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT), wakati wa kliniki ya upimaji afya bila malipo, uliodhaminiwa na  Vodacom Foundation, uliofanyika katika Viwanja vya Hindu Mandal Mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro jana. (Na Mpigapicha Wetu)  

No comments:

Post a Comment