03 October 2012

ZAWADI


Bw.Husein mussa ambaye ni mmoja wa wafanyakazi wa Mansoor daya, akimkabidhi Waziri Mkuu Bw.Mizengo Pinda  zawadi ya picha ya Rais kikwete katika sherehe ya kutimiza miaka hamsini ya kiwanda cha kutengenezea dawa cha Mansoor Daya Dar es Salaam Jana wakwanza kushoto ni Mrs Mansoor Daya na mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Bw.Said Mecky Sadik(picha na Anna Titus)

No comments:

Post a Comment