18 September 2012

JENEZA


Baadhi ya ndugu na jamaa wakibeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa bwanaharusi mtarajiwa marehemu Rashid Hamad, kabla yaq maziko jana. Marehemu  alikufa kwa ajali ya umeme masaa machache kabla ya kufunga ndoa huko Ukonga Mazambalauni, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. (Picha na Prona Mumwi)

No comments:

Post a Comment