30 August 2012

BURUDANI

Washiriki wa mashindano ya Miss Utalii Tanzania 2012, Wilaya za Ilala na Kinondoni wakiwa na mmoja wa wadhamini wao 'Secrets Lingerie', wakiwa kwenye ufukwe wa Msasani. Washiriki hao kwa pamoja wanajiandaa na mashindano ya kuwatafuta wanyange watakaokwenda kushiriki fainali za Taifa. Picha na blogu ya issamichuzi 

No comments:

Post a Comment