Makamu wa Rais, Dkt. Mohamed Gharib Bilal (wa tatu kushoto), Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Ali Mohamed Shein (wa nne kushoto) na baadhi ya Viongozi Serikali wakishiriki Swala ya kuwaombea Dua Abiria waliopoteza maisha wakati wa ajali ya Meli Mv. Skagit, iliyozama hivi karibuni. Swala hiyo iliongozwa na Mufti wa Zanzibar, Sheikh Saleh Omar Kabi, kwenye Msikiti wa Mwembeshauri, Mjini Unguja jana. (Picha na Muhidin Sufian OMR)
No comments:
Post a Comment