Meneja wa bia ya Kilimanjaro Premium Lager, George Kavishe akipeana mkono na beki wa Kilimanjaro Taifa Stars, Juma Nyoso wakati alipokutana na wachezaji wa timu hiyo jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni nahodha wa timu hiyo, Juma Kaseja pamoja na Kocha Mkuu Kim Poulsen (wa pili kushoto). Na Mpigapicha Wetu
No comments:
Post a Comment