08 June 2012

MISS CHANG'OMBE

Mkurugenzi wa Kampuni ya King Promoters, Tom Chilala (kulia) akizungumza na waandhishi wa habari (hawapo pichani), kuhusu mashindano ya Redd's Miss Chang'ombe 2012 yatakayofanyika kesho katika Ukumbi wa Quality Center, Dar es Salaam. Katikati ni Meneja wa Redd's Victoria Kimaro na (kushoto) ni mratibu wa mashindano Teddy Cheddy. (Picha na Victor Mkumbo)


No comments:

Post a Comment