19 June 2012

KABUMBU

Mchezaji wa timu ya soka ya NBC, Hussein Shabani (kulia), akiwania mpira na Henry Justin wa Barclays wakati wa mchezo wa kirafiki uliofanyika Dar es Salaam juzi. NBC ilishinda kwa penalti 4-3. (Na Mpigapicha Wetu)

No comments:

Post a Comment