08 May 2012

UDHIBITI ULANGUZI


Ili kukabiliana na tatizo la ulanguzi wa tiketi za usafiri wa boti ziendazo visiwani Unguja na Pemba, baadhi ya mawakala wenye ofisi zilizopo Feri, Posta jijini, wamechora bei halisi ya nauri katika kuta za ofisi zao, kama zinavyoonesha katika picha iliyopigwa, Dar es Salaam jana. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment