08 May 2012

UBABE KAZINI




Wakazi wa jiji ambao majina na kazi wanazofanya (havikufahamika), walikutwa na kamera yetu kando ya makutano ya Barabara za Msimbazi na Uhuru, Dar es Salaam jana, wakiwa wameshikana mashati baada ya kutokuelewana katika shughuli zao. (Picha na Rajabu Mhamila)

No comments:

Post a Comment