08 May 2012

Kagasheki


Rais Jakaya Kikwete (kushoto), akimuapisha Balozi Hamis Kagasheki, kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, wakati wa hafla fupi ya kuwaapisha mawaziri iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu Dar es Salaam jana. (Michael Machella)

No comments:

Post a Comment