23 January 2012

Wachezaji wa Yanga wakimpongeza mshambuliaji wa timu hiyo, Keneth Asamoh, baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza dhidi ya Moro United, Uwaja wa Taifa, Dar es Salaam jana. Timu hizo zilifungama mabao 2-2.

No comments:

Post a Comment